Contacts

Thursday, June 6, 2013

SIYO KWELLIIIII MMHH AYA

SIYO KWELI KUWA DULLY ALIKUWA AKIFANYA STAREHE BADALA YA KUMUAGA NGWAIR

Kuna taarifa ziliandikwa na baadhi ya mitandao 
kuwa Brother Dully hakwenda kupokea wala
 kuaga mwili wa Ngwair na badala yake alikuwa akila bata na mpenzi wake,iko hivi;Siku moja baada ya kifo cha marehem Ngwea, 
Dully alikuwa na safari ya kuelekea Mwanza, ambapo alikaa huko kwa 
muda wa siku mbili na kurudi, kwakuwa alikuwa akiendesha mwenyewe gari lake kuelekea Mwanza na kurudi, Dully aliamua kubaki Morogoro tangu siku ya juma tatu
 kuusubiri mwili wa Ngwea, ambapo kwa sasa yupo na
 afande sele na wananchi kibao maeneo ya nane nane
, wakisubiri kuusindikiza mwili wa  marehem kutoka maeneo hayo

No comments:

Post a Comment