Kufuatia umati wa watu uliojitokeza jana kuupokea mwili wa
mangwea,familia ndugu na jamaa kwa kushirikiana na uongozi wa serikali
ya mkoa wa morogoro,kwa pamoja wameamu shughuri za kuaga mwili wa msanii
huyo zifanyike ndani ya uwanja wa Jamhuri badala ya nyumbani kwa mama
mangwea Kihonda Mazimbu Road.
Kwa sasa mtandao huu uko ndani ya uwanja wa Jamhuri ukushuhudia
maaskali wenye mbwa wakiwasili ndani ya uwanja huo huku watoto wa shule
ya msingi wakitoka madarasani wakiingia kwa wingi ndani ya uwanja wa
jamhuri.
No comments:
Post a Comment