hapa akiwa ndani ya gari yake nilipomtembelea kwake mikocheni
hapa akiwa katika pozi la picha nilipomuomba kumpiga picha
hapa akiwa na swaiba wake wakinikaribisha kwake si mchezo jamaa kajipangaa sna
hapa nikipiga namba za gari lenye jina lake dah si mchezoo jamaa yuko juu hongera sna kaka.
No comments:
Post a Comment