kaka mtu na mdogo m2 mwakihaba family
hongera John rafiki yangu mkubwa kwa kuhitimu ilikuwa kazi ngumu na safari ndefu .
hey mabeste wazee wa vitale na kunyora man hiza na john wakati wa graduation arusha
marafiki zangu wakati nasoma uhasibu arusha hapa ilikuwa ndo hostel Dennis,Tumaini, na David pamoja sana
ndani ya chuo kwenye maandalizi ya gradu watu wako busy sana Selle,John na Emanuel mwakihaba na mi pia
No comments:
Post a Comment