Contacts

Wednesday, January 1, 2014

R.I.P BROTHERHOOD BIG ROY SO PAINFUL WILL MICU



     IT WAS A SUDDEN DEATH JUST AFTER WELCOMING 2014  THE EARLY MORNING UR      GONE SO PAINFUL BROTHERHOOD 
>>>>>Ngumu kuamini n unbelievable we luvd u bt very painful ur gone will always remember u in all Gud tyms we had n happy moment rest in peace brotherhood.<<<<<<

Thursday, November 28, 2013

KUMBE BRAZIL NAO WASANII WA MAJENGOO MMH AYA SASA YA POSTA TENA (TANZANIA)


Brazil Stadium CollapseNi watu wawili wamepoteza maisha baada ya kubomoka kwa sehemu ya uwanja mpya wa mpira wa miguu kwenye mji wa Sao Paulo, uwanja mbao ndio unatarajiwa kufungua mashindano ya kombe la dunia mwaka 2014 nchini Brazil.
Wawili waliopoteza maisha walikua miongoni mwa Wafanyakazi wanaojenga uwanja huo ambapo kubomoka kwa uwanja huu kulitokana na kufeli kwa crane ambapo waliofariki ni Fabio Luiz Pereira, 42, driver/operator of the company BHM Munck pamoja na mjenzi Ronaldo Oliveira dos Santos, 44.
Viwanja vyote 12 vitakavyotumika kwenye mechi za kombe la dunia vimekua vikijengwa kwa kasi ili kumalizika kwa muda uliopangwa na FIFA ambao ni December 2013.
b4
b6
b7
b8
b3
b2
b1

Friday, November 22, 2013

R.I.P CHALII YANGU I WILL ALWAYS REMEMBER YOU AND MICU


                        
                         R.I.P NTAKUKUMBUKA KWA MENGI MDOGO WANGU DAIMA.
                   UJASIRI UCHESHI NA PIA MOYO WAKO WAKUJITOA KATIKA KAZI 
                               MUNGU AILAZE ROHO YAKO MAHALA PEMA PEPONI.
                                                                        AMEN

Sunday, November 17, 2013

LIFE IS ONE BIG ROAD MAINLY HAPPY IN UPSIDE


                           
                   JK JUNIOR AND LATE JK SENIOR 

Saturday, November 16, 2013

SUBARU HII HAPA INAUZWA RECENTLY IMPORTED AND REGISTERED


Displaying image.jpeg









Displaying image.jpeg


Displaying image.jpeg




Displaying image.jpeg

                                                 CONTACT- +255 652-489648

TANAGZO LA ENEO LA KUJENGA PETROL STATION LINAUZWA READY SURVEYED.

DO YOU HAPPEN TO HAVE ANYONE 

INTERESTED IN

BUILDING A PETROL STATION 


ALONG MOROGORO ROAD?IF ( YES ) 

There are 

Three (3)


Hectors §SURVEYED on 

MARKET.Kiluvya kwa komba§  


CONTACT 


0652-489648

Sunday, November 10, 2013

MASHABIKI WA ARSENAL HII INAWAHUSU SANA!



ebu tuzungumze kweli imekuwaje hapa hahahahahahahahhaahha

                 MAN UTD 1-O ARSENAL