Mwili wa Marehemu Albert Mangwear ulipowasili Leaders
Huku
watu wakiendelea kujitokeza katika viwanja Leaders Club katika harakati
nzima ya kutoa heshima ya mwisho ya ndugu yetu msanii wetu na kipenzi
cha watu wengi muda huu mwili wa Marehemu Albert Mangwear ndio umeingia
katika viwanja vya leaders Club
No comments:
Post a Comment