Contacts

Thursday, June 6, 2013

BALAA LINGINE MUME WA MALKIA WA MIPASHO AFARIKI

MUME WA KHADIJA KOPA AFARIKI DUNIA ASUBUHI YA LEO

Khadija Kopa akiwa na marehem mumewe enzi za uhai wake
Mume  wa Malkia wa Mipasho Khadija Koppa
 ambaye pia ni diwani wa Kata ya Mogomeni Bagamoyo kupitia CCM
 Jaffar Ali Yusuf amefariki dunia mapema asubuhi ya leo
 katika Hospitali ya
lugalo. Kwa mujibu wa baadhi ya ndugu wa marehemu wamesema 
ndugu yao alikuwa anasumbuliwa na 
tatizo la mfumo wa upumuaji
Mungu alitoa na Mungu ndiye ametwaa jina lake lihimidiwe

No comments:

Post a Comment