Maelfu
ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam na vitongoji vyake wamekusanyika
katika Viwanja vya Leaders Kinondoni kumuaga msanii mahiri wa muziki wa
kizazi kipya, Albert Kenneth Mangweha 'Ngwair' aliyefariki dunia ghafla
Mei 28 mwaka huu huko nchini Afrika Kusini. Mwili wa marehemu Mangweha
baada ya kuaga utasafirishwa kwenda mkoani Morogoro tayari kwa mazishi
yatakayofanyika kesho.
No comments:
Post a Comment