Contacts

Friday, May 10, 2013

MAJAMBAZI TENA KARIAKOO

BREAKING NEWS, MAJAMBAZI YAPORA KARIAKOO NA KUUA MAENEO YA BARABARA YA UHURU

Majambazi yapora mama mmoja kiasi cha shilingi milioni kumi leo na kutokomea kusikojulikana. Tukio hilo limetokea leo saa 5:16 asubuhi, inavyosemekana mdada huyo  alikua akitoka benki ya CRDB tawi la Uhuru ambapo majambazi yakiwa na pikipiki yalikua yakimfuatilia, alipotoka tu wakaligonga gari lake makusudi ndipo dada huyo aliposimama ili angaalie nani kagonga gari yake ambapo jambazi mmoja alishuka na kumpiga risasi ya kifuani na kutokomea na kiasi hicho cha pesa. Mpaka tunaingia mitamboni hakuna habari yoyote ya kukamatwa kwa wahalifu hao.

No comments:

Post a Comment