BREAKING NEWS, MAJAMBAZI YAPORA KARIAKOO NA KUUA MAENEO YA BARABARA YA UHURU
Majambazi yapora mama mmoja kiasi cha shilingi milioni kumi leo na
kutokomea kusikojulikana. Tukio hilo limetokea leo saa 5:16 asubuhi,
inavyosemekana mdada huyo alikua akitoka benki ya CRDB tawi la Uhuru
ambapo majambazi yakiwa na pikipiki yalikua yakimfuatilia, alipotoka tu
wakaligonga gari lake makusudi ndipo dada huyo aliposimama ili angaalie
nani kagonga gari yake ambapo jambazi mmoja alishuka na kumpiga risasi
ya kifuani na kutokomea na kiasi hicho cha pesa. Mpaka tunaingia
mitamboni hakuna habari yoyote ya kukamatwa kwa wahalifu hao.
No comments:
Post a Comment