mida ya dicussion saa
mzee mzima namwaga lecture ya accounting watu makini wananisikiliza namwaga point
hapa sasa ndo ubize wa wanachuo wanzangu jamani safarii ilikuwa ndefu sna
hapa sasa maswali yamechanganya watu wanakusanya material na kufundishana what to do???
Mwigani amwaga lecture ya somo la project na maswali yake
aya sasawatu wanaelekezana sasa baada ya kuelewa dah what a dicussion!!!!!
ndo tunajianda kuikabili auditing sasa watu ful kuka kwenye mti kwanza!!!!!!!
muda umefika wa kusoma mambo ya auditing napewa somo sasa na wenzangu
muda wa sosi watu tunakimbiana sasa baada ya kusoma
najibu swali nakuangalia kwa makini
huu muda wa watu kujisomea kabla ya kuingia kwenye mtihani
hapa sasa hesabu inashushwa lazima usimame uangalie kwa makini
hapa chini chumba cha mtihani hwa maswaiba zang wa darasa nawapenda sna Vivian,Alice na Stella
Hivi ndivyo ulivyokuwa wakati wa exams zangu za mwisho wa kumalizia degreee chuoni namshukuru Mungu kwa kumaliza salama na pia kuwashukuru class mate wangu otw hapo juu wakiwa ni Mwigani,Elizabeth,Mkotima,mama Makunenge,dada Deborah,Mchungaji Samson, alex na wengine wotwe
No comments:
Post a Comment